Namna ya kuelewa chanzo cha tatizo au maumivu ya moyo aliyonayo mtu, zipo njia tatu kuu za kutumia:-
1. MASIMULIZI
Hii ni njia ya kuelewa chanzo cha maumivu ya nafsi kwa Kusimuliwa na wazazi au watu wengine kuhusu vizazi vilivyopita na jinsi walivyoishi. (Yaani walifanaya nini, Mila gani walifanya, Waliishije wenyewe kwenye kulea, Mahusiano yao yalikuwaje, nk)
......Kumbuka siku za kale, Tafakari miaka ya vizazi vingi; Mwulize baba yako, naye atakuonyesha; Wazee wako, nao watakuambia.
.......Kum 32:7.......
2. UHALISIA WA FAMILIA.
Hii ni njia ya pili ya kutambua chanzo cha maumivu ya nafsi kwa kuangalia hali halisi iliyopo kwenye familia au ukoo au mazingira yako au watu wa karibu na wewe.
Mfano. Unaweza kuangalia kama kwenye familia kama imetawaliwa na Magomvi, Watu wenye hasira kali, wenye hofu, Wenye kukata tamaa, kujitenga, Ulevi, kukwepa majukumu, kutuhumiana, na mengineyo yanasababisha watoto wanaozaliwa wazaliwe na maumivu ya ndani.
3. ROHO MTAKATIFU
Hii ni njia bora zaidi ya kutambua chanzo cha maumivu ya nafsi kwa kumwomba ROHO MTAKATIFU akuonyeshe au akufunulie chanzo chanzo cha shida yako.
ROHO MTAKATIFU anafunua mafumbo hata yaliyo magumu Inategemea umempatia nafasi kiasi gani. Yeye anakuongoza kwenye kweli yote na uhalisia wake, anafunua hata yajayo na kama ana uweza wa kufunua yajayo hawezi kushindwa kufunua yaliyopita yaani chanzo cha maumivu yako ya moyo.
.....Yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, ATAWAONGOZA awatie kwenye KWELI YOTE; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na MAMBO YAJAYO atawapasha habari yake.
......Yohana 16:13......
NJIA ZA KUKUSAIDIA ILI UPOKEE UPONYAJI KAMILI WA MAUMIVU YA NAFSI.
Jambo la msingi ni nini cha kufanya ili nipokee uponyaji wa ndani?
💬Tutaendelea....
Rejea
Remember the days of old, Consider the years of many generations. Ask your father, and he will inform you, Your elders, and they will tell you.
Kwa nini Biblia imejaa mafumbo? Biblia imejaa mafumbo kwa sababu akili za watu bado hazijakomaa kuupokea ukweli. Yesu na waandishi wote wa Biblia waliongea na kuandika kimafumbo, ili Neno la Mungu lijidhihirishe lenyewe kiroho katika mawazo ya mtu. #biblia #bible #mafumbo #riddles #nenolamungu #wordofgod https://www.instagram.com/p/BrKQTJ5ns-X/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=tzwz0a9ylkfb
Teacher Lyrics by Harmonize
Yao yao hahaha…Jeshi
Yeah! Wakati wanahanya kugombea kiti
Wanadanganyana na views wa ku-cheat
Mie jicho lipo nyanya nilishakula kijiti
Na magoma yakipigwa huko club mtiti
Ninachojua masela
Huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana siringishi hela
Wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dera
Watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa cinderella
Yeye hapendagi makiki
(Oh nah…
Teacher Lyrics by Harmonize
Yao yao hahaha…Jeshi
Yeah! Wakati wanahanya kugombea kiti
Wanadanganyana na views wa ku-cheat
Mie jicho lipo nyanya nilishakula kijiti
Na magoma yakipigwa huko club mtiti
Ninachojua masela
Huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana siringishi hela
Wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dera
Watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa cinderella
Yeye hapendagi makiki
(Oh nah…
TAFSIRI YA MAISHA YAKO UMEITOA WAPI? Ukiwaacha watu wakupe tafsiri ya maisha yako, wao watakupatia tafsiri kwa faida yao, wata kuona kama Beberu alie nona, watakuhifadhi katika maboma ya mioyo yao, na katika mazizi yao, watakupa chakula kizuri na watajitahidi kukupa dawa za kuponya magonjwa yako, na watatumia muda mwingi wakutunze, mwisho wa siku wanachohitaji ni supu........na wewe kwao nikama beberu tuu.... Ila kama ukikubali kuwa na mtazamo sawa kwa kuamua kutafsiri maisha yako kutoka kwenye msingi wa Mungu, yaani kwakutumia neno la Kristo, yeye atakuwa Baba kwako, atakupa neno lake na atakupa maana halisi ya maisha katika njia rahisi nawe utafarijika, Neno la Mungu lina tabia nne... 1. Lina mamlaka, 2. Lina hekima na kufunua mafumbo na siri. 3. Lina umuhimu kwenye maisha . 4. Lina tosheleza maisha yetu... Kwanjia hii, tunapata kuwa kwenye lengo hasa la Mungu, na yeye anatulea kama watoto wake na sio kama wale wanao kulea kama Beberu.. Hawa walezi wanawezakuwa 1. Familia zisizo na msingi wakimungu, ambao bado wapo chini ya mizimu na uchawi. 2. Marafiki na Dunia wasio na msingi kwa Mungu. 3. Dini na Itikadi za kibinadamu walizo jitungia watu kwa mapenzi yao. 4. Kazi na mashirika yanayolenga kunyonya supu ndani yako kwa manufaa yao. Ila, Yesu anatuita kondoo wake, yeye halengi mtazamo wa ufugaji na ulaji wa nyama bali yeye ndie anaechinjwa ili kondoo waishi, haya ni mapinduzi makubwa ya kifikra kwa wakati ule alipokuwa anahubiri. ila wafugaji wanalenga kula nyama yako..... Yohana 10 9 Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho. 10 Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. 11 Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo. NANI ANAEKUPA TAFSIRI YA MAISHA YAKO? 1. Wazazi na tamaduni zenu? 2. Kazi na cheo chako? 3. Jinsia na tamaa zako? 4. Mke au Mume au watoto? 5. Dini na Itikadi au Viongozi wako wa Dini? 6. Neno la Kristo? TAFAKARI TENA....... https://www.instagram.com/p/CIVH-AABloD/?igshid=4yexkwd9zlmf
Kutegemea pegiko, ndio tabia ya chungu Kisipate hangaiko, kikaja tenguka tengu Kama mwana na mbeleko, huwezi engua engu Mambo huenda mtengu, chungu pasi na pegiko ~Utunzi wa Hamisi Kissamvu #Mwanagenzi
Kutegemea pegiko, ndio tabia ya chungu
Kisipate hangaiko, kikaja tenguka tengu
Kama mwana na mbeleko, huwezi engua engu
Mambo huenda mtengu, chungu pasi na pegiko
Chungu pasi na pegiko, itakufika mizungu
Utapata hangaiko, huwezi kuvuga dengu
Adha yake mnenguko, kila muda nengunengu
Mambo huenda mtengu, chungu pasi na pegiko
Chungu pasi na pegiko, ni duni usoni mwangu
Inanipa hamaniko, mnani watu…
Jipinde Lyrics by Ibraah
Ye aah chinga aaah
Moja nikusifie we kama katuni mwendo hauna kasoro
na kawimbo ni kuimbie sio kwa mafumbo
kweli mwali mwali nimefollow shida ya upendo
uko moyoni natamani nikuoneshe ila hauonekani
we my sweet my hani bani nimependa kweli
sio ku having fun ouwoo o
oooh darling darling sweet sweet
ile mida flani ndani tukwichi kwichi
pendo limesha noma na twitt…
Jipinde Lyrics by Ibraah
Ye aah chinga aaah
Moja nikusifie we kama katuni mwendo hauna kasoro
na kawimbo ni kuimbie sio kwa mafumbo
kweli mwali mwali nimefollow shida ya upendo
uko moyoni natamani nikuoneshe ila hauonekani
we my sweet my hani bani nimependa kweli
sio ku having fun ouwoo o
oooh darling darling sweet sweet
ile mida flani ndani tukwichi kwichi
pendo limesha noma na twitt…