Tumgik
#wakati
docgold13 · 4 months
Text
Tumblr media
Batman: The Animated Series - Paper Cut-Out Portraits and Profiles
The Clock King
Temple Fugate was a man who ardently believed in maintaining a strict schedule for time/task management.  He was the founder and president of a consultancy specializing in time efficiency.  His firmed was sued and he was at risk of losing everything he had worked for.  On the advice of his colleague, Hamilton Hill, Fugate broke with his struct schedule to try to relax.  This led to a mishap ultimately resulting in Fugate missing his hearing and losing his company.  A distraught Fugate became convinced that Hill had purposefully sabotaged him.  
Several years later, Hamilton Hill had been elected Mayor of Gotham and Fugate reemerged.  He now called himself ‘The Clock King’ and was set on destroying Mayor Hill as revenge.  Fugate had perfected his study of time, planning and schedule to such a point that he was able to perform feats that bordered on the super human.  
The Clock King initially stymied Batman’s efforts to apprehend him and he nearly succeeded in killing Mayor Hill.  Batman managed to triumph however and save the mayor.  Fugate appeared to perish in the battle but his body was never found.  
Fugate indeed survived and went into hiding, acting as a butler to a brilliant and reclusive scientist named Dr. Wakati.  The scientist had built an ingenious device that could momentarily freeze time within a sphere where the person holding the device was unaffected.  In brief, the device effectively enabled a person the power of super speed.  
Fugate stole this device and The Clock King returned.  Once more, he set his sights on bringing down Mayor Hill as well as garnering revenge on Batman.  Dr. Wakati provided Batman and Robin a similar device that enabled them to defeat The Clock King and Fugate was sentenced to life in prison at Stonegate Penitentiary.  His sentenced was later secretly furloughed by the governmental agent, Amanda Waller, who assigned Fugate the role of chief strategist of her covert ‘Task Force X’ squad.  
Actor Alan Rachins provided the voice for The Clock King, with the villain first appearing in the fourteenth episode of the first season of Batman: The Animated Series, ‘The Clock King.’
29 notes · View notes
santuri · 2 months
Text
kama u're sure (and the source supports it) watarudiana tashwishi ni ya nini?? season hasnt even aired yet!! endgame kila wakati and yet u cant rest easy in that knowledge... lazima mtuambie ooh manipulation oh its toxic sijui sijui nini hadi mwatunga zingine!! nilidhani ni gothic romance isnt that what u told us or is whiteness the thing that makes something gothic?! jamani just relax it'll end??! kila mwanzo una mwisho na mwisho wa loumand mnaujua
4 notes · View notes
mistasango · 1 year
Photo
Tumblr media
🌍Wakati unapo pata mafanikio Usifikiri ni kila mtu ndo anafurahia mafanikio Yako🙌,wengine wata tafuta namna yote wa kushushe 🤑😍🤣 Kwaiyo tafuta sasa njia yakulinda mafanikio Yako🙏🏾😘 #UTAELEWA_BAADAE https://www.instagram.com/p/Cp-9LS1rW8P/?igshid=NGJjMDIxMWI=
8 notes · View notes
rwizakakiza · 1 year
Text
Please SUBSCRIBE
Https://www.youtube.com/@Rwizakakiza
Tumaini Jipya Ndani ya YESU KRISTO
Ni
BWANA YESU KUWA MCHUNGAJI WAKO
Tafakari
>BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.
>>>{Hakikisha BWANA YESU KRISTO ndiye anakuwa mchungaji wako, huwezi kupungukiwa}
>Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
>>>{Hakikisha YESU KRISTO kama mchungaji wako, ndiye anayekuongoza, usimpangie pa kukupeleka}
>Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
>>>{Nafsi au moyo uliumia, YESU KRISTO anautibu, uwe tayari Yeye kukuelekeza cha kufanya, akikukwambia samehe uwe tayari kusamehe, hata kama unayo haki ya kutokumsamehe, samehe maana njia zake ni za haki hawezi kukupoteza}
>Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
>>>{Unapopitia magumu na machungu, usifikiri BWANA YESU kakuacha yupo na wewe, kitu pekee cha kukufariji ni Gongo lake yaani Neno lake kulitii na kuliishi}
>Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu.
>>>{Kumbuka kuna wakati atakupeleka katikati ya adui zako, Usiogope, Yeye ndiye mchungaji wako atakupigania}
>Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.
>>>{Ukitii na kuishi BWANA YESU anavyotaka hakika baraka zitatililika na kukufuata kwenye maisha yako yoote}
>Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.
>>>{Baraka zikijaa kwenye maisha yako, daima utamshukuru, na kumsifu MUNGU aliye mchungaji wako, anayekulisha, anayekupigania na kukuongoza, MPE NAFASI AKUONGOZE NA AFANYIKE MCHUNGAJI DAIMA KWAKO}
Rejea
Psalms 23:1 - 6
@2023 the greatest Glory for me. "Mchungaji wangu" on YouTube
3 notes · View notes
wakatiproducoes · 1 year
Photo
Tumblr media
A espera valeu a pena! Todas as pessoas que compraram o disco na pré-venda receberam um brinde surpresa: um adesivo do Agridoce! A partir de agora temos o disco a pronta entrega, enviamos para todo o Brasil, disponível em nosso site, link na bio! #Agridoce #Pitty #Martin #WakatiProducoes (em Wakati Produções) https://www.instagram.com/p/CoyBsB5OW7C/?igshid=NGJjMDIxMWI=
6 notes · View notes
bonoboaday · 2 years
Photo
Tumblr media
Nayembi and her baby Wakati by Planckendael Zoo <3
2 notes · View notes
the-writing-avocado · 2 years
Text
Dates
Eight months in a year
New months (provisional, google translating words into Swahili as a base):
mwenge usiku wa giza maisha kifo eneo wakati mstari tatizo
8x37=296 -> up to 305 for annoyance
so 37-40 days in a moth
T'was religious communities jobs to decide religious celebrations, etc. when they moved over to Mistynn
Do the humans know why the moths changed? No, but a lot of information got lost in the transition due to unaccountable accidents (The Old War, the words are words from the lost language)
Five days in a week. Everything works on a two week cycle traditionally
Days typically work three days work two days rest
Normally in format Rest, Work, Work, Work, Rest
Monday, Tuesday, Wednesday, Thursday, Friday
Did Magicians have formal names for days of the week? No.
1 note · View note
cvr5ta-blog · 2 years
Photo
Tumblr media
Wakati (on Wattpad) https://www.wattpad.com/story/139524447-wakati?utm_source=web&utm_medium=tumblr&utm_content=share_myworks&wp_uname=cursta&wp_originator=LvmOMUOF6yyTmuErq8A9vtPu1bXaWhaW%2B7u8mGkAq97mQQhvTuEAQh0mbrjJIv2RkTHm%2Fn3kJeZwxwC63j2I2K%2B5nrttFC926zinczxKa%2BE%2BoCOQElzqGbR4lojShpcf the story is about a police detective who loses his job and decides to be a private investigator, his works becomes famous and gains a lot of money, he later met a woman during a case and he fell in love but never wanted to break his work ethics of getting to close to the client. He later proposes to the lady but eventually gets killed in an accident with him driving. he decides to find out what happened to the accident and who didn't, only problem was that he has to repeat two days of the incident over again to find the cause of the accident.
2 notes · View notes
mateoshija · 4 days
Text
Songa Mbele, Kuza Imani
Kuhusu ukuhani huu, tunayo mengi ya kusema ambayo ni mag umu kuyaeleza, kwa maana ninyi si wepesi wa kuelewa. Ingawa kwa wakati huu mngalipaswa kuwa walimu, lakini bado mnahitaji mtu wa kuwafundisha tena hatua za kwanza za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa, wala si chakula kigumu. Kwa maana anayeishi kwa maziwa peke yake bado ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafund isho kuhusu neno la…
View On WordPress
0 notes
masteredwriters · 7 days
Video
youtube
Wakati Hii Movie Itaisha - Alex Gitahi
0 notes
pst-bisekokimasa · 1 month
Text
0 notes
sariaisrael · 1 month
Text
CHANETA IJIFUFUE UPYA KUENDANA NA WAKATI
Kwa sasa chama hicho bado kipo hai ila kuna uwezekano umaarufu wake umepungua kidogo tofauti na huko nyuma Chaneta ni mojawapo ya vyama vikongwe vya michezo nchini Tanzania. Chama hichi kilianzishwa mnamo mwaka 1966. Chama hichi kipo kwa ajili ya kusimamia, kuendesha na kusambaza mchezo wa Netiboli ama mpira wa pete nchini Tanzania. Mchezo huu ulitambulishwa nchini Tanzania wakati wa utawala wa…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
cnrd · 2 months
Text
Tumblr media
0 notes
rwizakakiza · 12 days
Text
Somo: ACHA VISINGIZIO, SIMAMA UBADILISHE MAISHA YAKO.
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Fuatilia YouTube.
Https://youtube.com/@Rwizakakiza?si=DDoZgDdxlif_X-nD
Sehemu VII. (VISINGIZIO).
BAADHI YA VISINGIZIO SITA (6) VINAVYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO.
6. KUAMINI MANENO YA KUKATISHA TAMAA.
.....Zaburi 19:14.....
Watu wengi wamekwama kwa sababu WALIWAZA na KUAMINI maneno mabaya waliyoambiwa. Maneno mengine yanaweza kuwa kweli yaani ndio uhalisia, Lakini MUNGU alikuamimi akakuleta duniani kupitia Mazingira hayo.
Mifano baadhi ya maneno yanayoaminiwa zaidi na watu:-
1. HUWEZI KUFANIKIWA , KWENU NI MASKINI
Ni kweli kwenu ni maskini, lakini MUNGU amekwmbia HUTAFANIKIWA?. Usiamini maneno ya watu, yafute, bali liamini Neno la MUNGU likupe mafanikio. (Kuzaliwa katika familia fukara sio tatizo, Tatizo ni wewe kuishi ufukara)
2. HUWEZI CHOCHOTE, WEWE NI MLEMAVU.
Ulemavu una mitazamo mingi, mfano... Ulemavu wa viungo, Ulemavu wa Udhaifu fulani (kuongea, utendaji, nk),... Ulemavu wa hali fulani (Utasa, Ugonjwa, nk).
Ni kweli wewe ni Mlemavu sawa, swali - Je MUNGU amekwmbia huwezi chochote kwa sababu wewe ni Mlemavu? au ni kwa sababu umeamini maneno ya watu zaidi kuliko Neno la MUNGU ndio maana upo kama ulivyo?.
3. "WA KUFANIKIWA ATAKUWA WEWE?"
Wengi katika maisha wamekuatana na kauli hii __Wameomba watu wengi, wa kupata itakuwa wewe? ___Mabinti ni wengi, Wa kuolewa itakuwa wewe? ____Ndoa nyingi hazidumu, itakuwa yako? __Eti unajifanya unasoma sana, wakati wengi wana-fail, Wa kusoma itakuwa wewe? ___Eneo hili biashara haifanikiwi, Wewe Utaweza? ___Watu wote ni wa dhambi, Utawezaje kuishi bila dhambi wewe?
Zote hizi ni baadhi ya kauli za kukuziba usiweze kufanikiwa milele iwapo utaziamini kuliko kumwamini MUNGU anayeweza kugeuza hali ya mtu muda wowote na kumfanikisha.
Acha kisingizio cha Umaskini wa kwenu,....cha Ulemavu wako,....cha wa kufanikiwa itakuwa wewe, MUNGU anakutengenezea ushuhuda mzuri kwenye maisha yako, acha malalamiko na visingizio, simama ubadilishe maisha yako mwenyewe ,Amina.
NAMNA YA KUSHINDA AU KUACHA VISINGIZIO.
.......Tutaendelea.......
Rejea
‭‭ "Let the words of my mouth and the meditation of my heart Be acceptable and pleasing in Your sight, O LORD, my [firm, immovable] rock and my Redeemer"
......Psalms 19:14.......
Ev. Erasmus Pascrates Kakiza
(WhatsApp: +255 782 546 914)
@2024 The year of my shining.
0 notes
mnaasilveira · 2 months
Text
Wakati Kristo Alikufa Msalabani
View On WordPress
0 notes
mwanamasolwa51 · 2 months
Text
Ujerumani ilianza uhasama mwaka wa 1914 kwa kushambulia bila mafanikio kutoka mji wa Tanga. [6] Kisha Waingereza walishambulia mji huo mnamo Novemba 1914 lakini wakazuiwa na Jenerali Paul von Lettow-Vorbeck kwenye Vita vya Tanga. [6] Jeshi la Wanamaji la Uingereza lilikalia Kisiwa cha Mafia mnamo Januari 1915.[6] Hata hivyo, "shambulio la Tanga na shughuli nyingi ndogo ndogo zilizofuata [zilionyesha] nguvu ... za [majeshi ya Wajerumani] na kufanya iwe dhahiri kwamba kikosi chenye nguvu lazima kiandaliwe kabla ya kutekwa kwa [Afrika Mashariki ya Kijerumani]. kuwa ... inafanyika. biashara kama hiyo ililazimika ... kungoja hali nzuri zaidi kwenye uwanja wa vita wa Uropa na mahali pengine. Lakini katika Julai, 1915, askari wa mwisho wa Ujerumani katika S.W. Afrika ilikubali ... na kiini cha nguvu inayohitajika ... ikawa inapatikana."[6] Majeshi ya Uingereza kutoka kaskazini-mashariki na kusini-magharibi na majeshi ya Ubelgiji kutoka kaskazini-magharibi yalishambulia na kuwashinda wanajeshi wa Ujerumani kuanzia Januari 1916.[6] Mnamo Oktoba 1916, Jenerali Smuts aliandika, "Ukiondoa Uwanda wa Mahenge [Wajerumani] wamepoteza kila sehemu yenye afya au muhimu ya Ukoloni wao”.[6]
kutengwa na Ujerumani, Jenerali Von Lettow kwa lazima aliendesha kampeni ya msituni katika mwaka wa 1917, akiishi nje ya ardhi na kutawanyika katika eneo kubwa.[6] Mnamo Desemba, vikosi vilivyosalia vya Wajerumani vilihamisha koloni kwa kuvuka Mto Ruvuma hadi Msumbiji wa Ureno.[6] Vikosi hivyo vilikadiriwa kuwa wanajeshi 320 wa Ujerumani na Askari 2,500.[6] Wajerumani 1,618 na Askari 5,482 waliuawa au kutekwa wakati wa miezi sita iliyopita ya 1917.[6] Mnamo Novemba 1918, jeshi lake lililosalia lilijisalimisha karibu na Mbala ya sasa, Zambia iliyojumuisha Wazungu 155, Askaris 1,165, wapagazi 2,294 wa Kiafrika n.k., na wanawake 819 Waafrika.[6]
Chini ya Mkataba wa Versailles, Ujerumani iliacha mali yake yote ya nje ya nchi, ikiwa ni pamoja na Afrika Mashariki ya Ujerumani.[7] Uingereza ilipoteza wanaume 3,443 katika vita pamoja na wanaume 6,558 kutokana na ugonjwa.[5]: ukurasa 246  Nambari sawa za Ubelgiji zilikuwa 683 na 1,300.
Utawala wa Uingereza
msimamizi wa kwanza wa raia wa Uingereza baada ya Vita vya Kwanza vya Dunia alikuwa Sir Horace Archer Byatt CMG, aliyeteuliwa na Tume ya Kifalme tarehe 31 Januari 1919. [8]: ukurasa wa 3  Mnamo Septemba 1920 na Tanganyika Order inBaraza, 1920, mipaka ya awali ya eneo, Baraza Kuu, na afisi za gavana na amiri jeshi mkuu zilianzishwa. 4
Uingereza na Ubelgiji zilitia saini makubaliano kuhusu mpaka kati ya Tanganyika na Ruanda-Urundi mwaka wa 1924.[9]
Gavana Byatt alichukua hatua za kufufua taasisi za Kiafrika kwa kuhimiza utawala mdogo wa ndani. aliidhinisha kuundwa mwaka wa 1922 kwa vilabu vya kisiasa kama vile Tanganyika Territory African Civil Service Association, ambayo mwaka wa 1929 ikawa Tanganyika African Association na baadaye ikawa msingi wa vuguvugu la utaifaMaagizo ya 1923, mamlaka yenye mipaka yalitolewa kwa machifu fulani wanaotambulika ambao pia wangeweza kutumia mamlaka waliyopewa na sheria za kimila za mitaa.[8]: ukurasa 6
Mheshimiwa Donald Cameron alikua gavana wa Tanganyika mwaka 1925.[8]: ukurasa 5  "Kazi yake ... ilikuwa na umuhimu mkubwa katika maendeleo ya sera ya utawala wa kikoloni, ikihusishwa hasa na jaribio kubwa la kuanzisha mfumo wa 'Utawala usio wa moja kwa moja. 'kupitia watu wa kiasilimamlaka."[8]: ukurasa wa 5  Alikuwa mkosoaji mkuu wa sera za Gavana Byatt kuhusu sheria isiyo ya moja kwa moja, kama inavyothibitishwa na Memorandum yake ya Utawala Na1, Kanuni za Utawala Asilia na Matumizi Yake.[8]: ukurasa wa 6mnamo 1926, Baraza la Kutunga Sheria lilianzishwa likiwa na watu saba wasio rasmi (ikiwa ni pamoja na Wahindi wawili) na wajumbe rasmi kumi na watatu, ambao kazi yao ilikuwa kushauri na kuridhia maagizo yaliyotolewa na gavana. kuteuliwa kwa baraza.[8]: ukurasa wa 5  Thebaraza liliundwa upya mwaka wa 1948 chini ya Gavana Edward Twining, likiwa na wanachama 15 wasio rasmi (Wazungu 7, Waafrika 4, na Wahindi 4) na wanachama rasmi 14.[8]: ukurasa wa 9  Julius Nyerere alikua mmoja wa wanachama wasio rasmi mwaka wa 1954. : ukurasa wa 9  Baraza liliundwa tena mwaka wa 1955 na 44wanachama wasio rasmi (Wazungu 10, Waafrika 10, Wahindi 10, na wawakilishi 14 wa serikali) na wanachama rasmi 17. [8]: ukurasa 9
Gavana Cameron mwaka wa 1929 alipitisha Sheria ya Mahakama ya Native No. 5, ambayo iliondoa mahakama hizo kutoka kwa mamlaka ya mahakama za kikoloni na kutoa mfumo wa rufaa wenye uamuzi wa mwisho kwa gavana mwenyewe.[8]: ukurasa 6
Kujitegemeaedit
Jifunze zaidi
sehemu hii haitaji vyanzo vyochote. (Machi 2021)
Mnamo 1954, Julius Nyerere, mwalimu wa shule ambaye wakati huo alikuwa mmoja wa Watanganyika wawili tu waliosoma hadi chuo kikuu, aliandaa chama cha kisiasa—Tanganyika African National Union (TANU). tarehe 9 Desemba 1961, Tanganyika ilipata uhuru, ingawa ilibakiza mfalme wa Uingereza kama Malkia wa Tanganyika, na Nyerere akawa Waziri Mkuu, chini ya katiba mpya. tarehe 9 Desemba 1962, katiba ya jamhuri ilitekelezwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kama rais wa kwanza wa Tanganyika.
Tarehe 26 Aprili 1964, Tanganyika iliungana na Zanzibar kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. nchi ilibadilishwa jina na kuitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 29 Oktoba mwaka huo. Jina Tanzania ni mchanganyiko wa Tanganyika na Zanzibar na hapo awali halikuwa na umuhimu wowote. Chini ya masharti ya muungano huu, Serikali ya Zanzibar ina uhuru mkubwa wa ndani.
Idadi ya watu
Kilimo
Tumblr media Tumblr media
0 notes