Tumgik
#wenye
tbgkaru-woh · 5 months
Text
Tumblr media
Ye Baiyi's and Wen Kexing's lives post their loved ones deaths
236 notes · View notes
midautumngame · 7 months
Text
Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media
All of the wonderful chibi art pieces our character artist Mai Pham created for our Kickstarter way back. Thank you for all the support getting us this far!
36 notes · View notes
orchisailsa · 10 months
Text
Tumblr media
Fic: “Sugar" 3.7K | Rated E | WenYe w Bonus ZZS | Voyeurism & Exhibitionism | Modern AU | Top WKX | Bottom Ye Baiyi | Drag Queen!YBY | The Morning After fic, a sequel to Some Like it Hot
7 notes · View notes
derekmusisi · 2 years
Photo
Tumblr media
“Therefore everyone who hears these words of mine and puts them into practice is like a wise man who built his house on the rock. Matthew 7:24 NIV https://bible.com/verse-of-the-day/mat.7.24/84276?version=111 #Rooted in Christ #Wenye mizizi ndani ya Kristo #Wisdom from God #Hekima kutoka kwa Mungu https://www.instagram.com/p/CjM6t4FqLuR/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
theivorlegov1 · 7 months
Video
youtube
Mafunzo ya Mpira wa Miguu kwa watu wenye ulemavu Amputee football uwanja...
Video featuring an amputee football match.
3 notes · View notes
sariaisrael · 18 days
Text
IMEFIKA MWISHO WA DULA MBABE KWENYE NGUMI?
Ukizungumzia mabondia ambao wenye majina makubwa katika ardhi ya Tanzania basi hauwezi kuacha kumtaja bondia Abdallah Pazi au maarufu kama Dullah Mbabe. Bondia huyu kutoka kwenye kitongoji cha Mwananyamala jijini Dar es salaam amejizolea umaarufu mkubwa katika siku za huko nyuma. Dullah kwanza husifika kwa kujivunia asili yake uzaramo na pia huuna misemo ya mapambano yake kwa kutumia misamiati ya…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
rwizakakiza · 19 days
Text
Somo: ACHA VISINGIZIO, SIMAMA UBADILISHE MAISHA YAKO.
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Fuatilia YouTube.
Https://youtube.com/@Rwizakakiza
Sehemu X.
NAMNA YA KUSHINDA AU KUACHA VISINGIZIO.
3. AMINI NENO KULIKO MANENO.
Kati ya maeneo magumu yanayowaumiza watu wengi na kuwa sababu ya kutofanikiwa kiroho na kimaisha ni kuamini maneno ya watu na kuyafanyia kazi zaidi kuliko kuliamini Neno la MUNGU na kuliishi.
Hasa maneno ya kukatisha tamaa huku ukitiwa moyo, au Maneno ya uhalisia wako ulivyo, ambayo yanaweza kutamkwa juu yako na baadhi ya wenye Vyeo /Wazazi wetu wa kiroho/kimwili au Wataalam, /Watu wa karibu unaowaamini.
Watu wengine waliambiwa __Huwezi kuimba, sauti yako mbaya, __Huwezi kuolewa au kuoa na ukadumu kwa kuwa ndoa ni zamani sio sasa, __Huwezi kuzaa mtoto, kizazi kimetolewa, __Huwezi kupona ugonjwa huu, __Huwezi ukafanya biashara huna Mtaji, __Huwezi kufanikiwa wameshindwa wengi, __Huwezi kuishi Utakatifu, wanadamu wote ni wa dhambi, __Siwezi kusamehe kwa nilichotendewa, __Sisi ni maskini tu, na mengineyo mengi.
Hayo ni baadhi tu ya maneno tunayoyaamini zaidi kuliko Neno la MUNGU kwa sababu mengine ni uhalisia kabisa ndivyo tulivyo kwenye maisha yetu, Lakini leo nimekuja kukwambia acha visingizio hivyo maana kwa MUNGU yote yanawezekana ukimwamini YESU leo.
.....Kwa kuwa HAKUNA NENO LISILOWEZEKANA kwa MUNGU.
......Luka 1:37....
......Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA?
.....Mwanzo 18:14....
‭......Tazama, mimi ni BWANA, MUNGU wa wote wenye mwili; Je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza?.
.......Yeremia 32:27......
MUNGU ili awe MUNGU anafanya mambo yalio zaidi ya ufahamu wetu, Nimeshuhudia waliotolewa vizazi wanapata watoto, Waliokufa wanafufuliwa, Waliomaskini wakitajirishwa, Walio walemavu na vipofu wakiponywa, Maria asiyemjua mume akipata mimba ya YESU. Bado tu unaamini maneno ya watu?.
Hata kama ndivyo ulivyo, leo mwamini YESU na Neno lake utafunguliwa na kufanikiwa kiroho na kimaisha, MUNGU akutendee yaliyoshindikana yawezekane leo Amina.
.......Tutaendelea.......
Rejea
‭‭ "For with GOD nothing [is or ever] shall be impossible.”
.....Luke 1:37.....
Ev. Erasmus Pascrates Kakiza
(WhatsApp: +255 782 546 914)
@2024 The year of my shining.
1 note · View note
djyammar · 2 months
Text
Karibu katika blog yetu! Leo tutajadili kuhusu muziki wa Bongo Flava, ambao ni aina maarufu ya muziki na kitamaduni nchini Tanzania. Bongo Flava, pia inajulikana kama muziki wa Kizazi Kipya, umekuwa ukipata umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni na kuathiri sana tasnia ya muziki huko Tanzania. Hebu tuangalie historia yake, vipengele vyake muhimu, na mafanikio yake.
1. Asili na Historia:
Bongo Flava ilianza kujulikana zaidi katika miaka ya 1990, huku ikichanganya vipengele vya muziki wa hip hop, R&B, reggae, na dansi ya Kitanzania. Wanamuziki wengi maarufu wa kizazi cha kwanza cha Bongo Flava ni pamoja na Juma Nature, Professor Jay, na Mwana FA. Walichanganya sauti za Kiafrika na mtindo wa kimataifa wa muziki wa pop, na hivyo kuunda kitu kipya na kipekee.
2. Vipengele muhimu:
Bongo Flava inajulikana kwa kuunganisha sauti za Kiafrika, mitindo ya kisasa ya muziki, na maudhui ya kijamii. Nyimbo nyingi za Bongo Flava zinazungumzia maisha ya kawaida ya watu wa Tanzania, matatizo ya kijamii, mapenzi, na changamoto za kimaisha. Pia, ngoma na vyombo vya asili vifanyiwa ubunifu katika muziki huu, unaoipa sauti ya kipekee.
3. Mafanikio:
Bongo Flava imeshuhudia mafanikio makubwa sana katika miaka ya hivi karibuni. Wanamuziki kama Diamond Platnumz, Ali Kiba, na Vanessa Mdee wamefanikiwa kupata umaarufu mkubwa ndani na nje ya Tanzania. Wamefanya kolabo na wasanii wa kimataifa kama vile Rick Ross, Ne-Yo, na Morgan Heritage. Pia, Bongo Flava imepokelewa na mashabiki wa muziki duniani kote na kuzaa wasanii wengi chipukizi.
4. Changamoto:
Ingawa Bongo Flava imeleta mafanikio makubwa, inakabiliwa na changamoto mbalimbali. Moja ni kuendeleza ubunifu na kutoa muziki wenye ubora ili kuvutia hadhira ya kimataifa kwa muda mrefu. Pia, kuna masuala ya kuiba wimbo kutoka nje ya nchi, ambayo yanapunguza ubunifu wa ndani na kusababisha malalamiko kutoka kwa wasanii wengine.
Bongo Flava ni kiini cha utamaduni wa Tanzania na muhimu katika utajiri wa muziki wa Kiafrika. Inaendelea kusonga mbele na kutambulika kimataifa. Tuko tayari kusikia maoni yako kuhusu muziki huu wa Bongo Flava na jinsi unavyoathiri tamaduni yetu. Asante kwa kusoma blog yetu ya leo!
1 note · View note
modealer-dailynews · 3 months
Text
most dangerous frogs in the world
0 notes
tbgkaru-woh · 11 months
Text
Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media
What if Ye Baiyi and Wen Kexing met differently, prior to canon events? What if they ended up on opposing sides without finding a middle ground?
124 notes · View notes
midautumngame · 1 year
Text
Tumblr media
Had the honor of commissioning @bokchois for fanart and she chose the studious Wenye for this stunning piece!
Juho Choi is a Korean-American illustrator with a love for all things beautiful. You can find more of her gorgeous work here!
68 notes · View notes
mateoshija · 3 months
Text
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.
 Ikawa Mafarisayo na waandishi wao kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema, Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?  Yesu akajibu akawaambia, Wenye afya hawana haja na tabibu, isipokuwa walio hawawezi.  Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu. Luka 5:30-32
View On WordPress
0 notes
mnaasilveira · 4 months
Text
Mwangaza wa Dhamiri
______________________________________________________________ Kristo ataona kwa muda nafsi yetu kwa macho yake wakati wa Mwangaza wa Dhamiri. Ni Neema ya Ukuaji wa Kiroho. Tutaangalia maisha yetu, maneno na matendo, mawazo mazuri na mabaya, na kujua athari za kila tendo au kutotenda kwetu, watu wengine na Mungu. Watakatifu wengine wamesema wenye dhambi wengi watatubu na kuokolewa. Onyo…
View On WordPress
0 notes
atikaschools · 5 months
Link
0 notes
melvinbeuz · 5 months
Text
Tumblr media
mbili wenye akili na mpumbavu
0 notes
sariaisrael · 1 month
Text
Jitihada zifanyike kukuza mchezo wa Bao…
UMEFIKA MUDA SASA KUBIDHAISHA MCHEZO WA BAO KIMATAIFA Hakika ni wazi kabisa kwamba mchezo wa bao ni mchezo maarufu sana miongoni mwa wakazi wa miji ya ukanda wa  Pwani ya Tanzania. Mchezo huu umekuwa unachezwa sana na watu wenye umri wa makamo ambao wamekuwa wanaucheza katika vijiwe vya kahawa ambapo wamekuwa wanakutana na kupiga stori na kubadilishana mawazo mbalimbali juu ya masuala ya…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes