Tumgik
#mwema's art
mwemaduma · 1 year
Text
Tumblr media
Little intruder
176 notes · View notes
blackismag · 1 year
Text
Margaret Njeri Ngigi (B.1996) is a passionate visual artist, photographer, and filmmaker. Born, raised, and currently living in Kenya, she is currently pursuing her Bachelor’s Degree in Film Production and Directing at the United States International University of Africa. Margaret has been practicing photography for six years in which she has been nominated for awards such as photo London emerging photographer of the year. She has exhibited her work in international art fairs such as Photo Basel and worked with galleries such as AKKA project Dubai and Venice. Women have been, and continue to be the center of most of her projects such as Murky waters and Mke Mwema.
Her environment has always been a source of inspiration for her and by taking images of women, she makes an image of herself and tries to bring these issues affecting women to the limelight. This is very important for her as women all around her continue to be oppressed by the society she lives in, and yet these issues are not talked about. Another topic she holds dear is a mental illness which she addresses in her work, with projects such as wrapped up in my head . While as much as she enjoys creating photographs and films, what drives her is the need to start conversations on issues that affect women and society at large. She is very passionate about feminism and the need to have safe spaces where women are able to hold conversations and also relate with her work and not feel alone with whatever issues they go through.
Read our interview with Sherie on our site!
Tumblr media Tumblr media Tumblr media
5 notes · View notes
thesussexfamily · 5 years
Text
SussexRoyal’s Forces for Change
Here are the accounts SussexRoyal chose out of recommendations by thousands to feature this month
Rafiki Mwema
Tiny Tickers Charity
Global Wellness Day
Art of Hope Global
Love the Oceans
Beyond Blue Official
Lion Guardians
Earth Day Network
Plan International UK
Children International
Free Wheelchair Mission
Bees Cause
BlinkNow Foundation
Waves for Change
Pawsitive Change Program
48 notes · View notes
karijoojoo10 · 3 years
Text
THE PROSPECT FOR TANZANIA ECONOMY AFFECTED BY COVID -19 GLOBAL PANDEMIC
THE PROSPECT FOR TANZANIA ECONOMY AFFECTED BY COVID -19 GLOBAL PANDEMIC
B Nyamboge Mwema Nyawangwe – Art in Tanzania internship As well as it is known COVID-19 is a global pandemic in the whole world today. Tanzania is among one of the many countries that has been affected in many ways and one of the major areas is in the economic sector. Since last April to May 2020 there was a huge rise of cases regarding COVID-19 which led to lockdowns including shutting down of…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
Photo
Tumblr media
(via Lord, I Hear Of Showers)
                    Lord, I Hear Of Showers 1 Lord, I hear of show’rs of blessing  Thou art scatt’ring full and free, Show’rs the thirsty land refreshing;  Let some drops now fall on me.
                      Chorus Even me, even me, Let some drops now fall on me.
2 Pass me not, O gracious Father!  Sinful though my heart may be; Thou might’st leave me, but the rather  Let Thy mercy fall on me.
3 Pass me not, O tender Savior!  Let me love and cling to Thee; I am longing for Thy favor;  While Thou’rt calling, call for me.
4 Pass me not, O Lord, the Spirit!  Thou canst make the blind to see; By the Witness of Thy merit,  Speak the word of power to me.
5 Love of God, so pure and changeless!  Blood of Christ, so rich and free! Grace of God, so strong and boundless!  Magnify them all in me.
6 Pass me not! Thy lost one bringing,  Bind my heart, O Lord, to Thee; While the streams of life are springing,  Blessing others, oh, bless me.
039 - Ati, Kuna Mvua Njema "Lord, I Hear Of Showers"
1 Ati, kuna mvua njema yanya yenye neema; Watu wanaona vyema Bwana, huninyeshei?
Chorus Na mimi? Na mimi? Bwana, huninyeshei?
2 Sinipite, Baba mwema; dhambini nimezama: Rehema ni za daima; Bwana hunionyeshi?
3 Sinipite, Yesu mwema; niwe nawe daima, Natamani kukwandama: Bwana, hunichukui?
4 Sinipite, Roho mwema, Mpaji wa uzima, Nawe shahidi wa wema, Bwana wema hunipi?
039
Find more at www.klossycloss.com
0 notes
kujengaupya · 4 years
Text
Tumblr media
Rob, katika mazingira yake ya asili
Kama ninakumbuka sahihi miaka, Rob Veith (pamoja na mke wake) walikuwa walihamia kutoka Botswana wakati ambao nilikuwa nilihamia kwa Tanzania. Ingawa sisi wawili tumezunguka katika jaamii zile zile za taaluma, tulikutana rasmi kupitia Inspiro Arts Alliance (kwa wakati ya nyuma Sauti za Moyo Kimataifa). Tangu wakati huu, nimepewa heshimu kivutiwa na kazi ya Rob kwa kutekeleza miradi mifupi naye katia nchi za Kenya pamoja na Tanzania. Jifunza zaidi kupitia maneno yake, chini.
Wewe ni nani? Habari ya msingi ungependa kushirikisha.
Kuzaliwa kaskazini ya jimbo la New York, nilitumia nusu ya maisha yangu kuishi California kusini na muda iliobaki nimekuwepo mahali mbalimbali, iwapo miaka kumi Afrika. Hadi sasa, nimekuwepo duniani kama nusu ya karne. Sasa kwangu ni Kaskazini-magharibi ya Pacific (USA), ambapo naishi pamoja na mke wangu wa miaka 19 katika nyumba ya shambani ya miaka 100 uliorekebishwa. Miti zinaonekana kupitia madirisha yangu yote na nina wajamaa wanaoishi jirani yangu.
Kwa wakati huu maishani mwangu, nina urefu juu ya kawaida, na nywele zinazo urefu chini ya kwaida.
Tafadhali tuambie kitu cha pekee kuhsu wewe.
Sina rangi ninanayopenda kuliko.
(Sijui kama ni kitu cha pekee, lakini mara nyingi ninaulizwa kuhusu rangi ninayopenda, na ninaona ngumu kujibu swali hili. Miaka mengi nilifanya kazi ya graphic design, hivyo nikipofikiria rangi, sifikiri nyekundu ama kijani nafikiri Pantone 3102 au kitu kama hicho. Pia, kuna rangi nyingi na zote zinathamani yao. Sina upendeleo.)
Yesu ni nani maishani mwako?
Hili ni aina ya swali ningeweza kutumia siku kadhaa kujibu. Jibu fupi - jibu ya shule ya Jumapili kanisani - ni kwamba yeye ni Bwana na Mwokozi yangu. Na ni kweli! Lakini sisi sote tuna maana binfasi kwa maneno haya mawili. Kuwa na Bwana inamaanisha nini? Kuwa na mwokozi inamaanisha nini?
Nilikuja kwa Yesu badaye ya kipindi cha kutafuta. Nilichunguza dini na falasafa nyingi. Yesu alinivutia na hekima na umuhumu wake. Niliona kati yake upekee ambayo niliipongeza.
Katika ujana wangu nilibaini na uzuri wa punk, siyo sana nguo za punk, lakini maadili yake ya msingi; uwe wewe, fanya yako, fanya mambo ya maana. Dini haifai katika haya; kwa namna nyingi dini ni kinyume ya punk; dini ni ufanye kama tuliofanya kamwe wakati tunayokuambia kuifanya. Dini ni orodha; fanya mambo haya yote na umefanya dini sahihi. Nilivutiwa na Yesu, lakini sikumfuata kwa sababu sikujua namna. Yesu alikuwa na uzuri, lakini dini ambao nilikua na hakuwa na uzuri. Mwishoni wa ujana wangu nilisikia mhubiri kusema Matendo 17:6, kwa kusema "Wale wakiume waliogeuka dunia juu chini..." na waza hili lilipasua akili yangu. Yesu hauwepo kuorodhesha orodha. Yesu aligeuka dunia juu chini. Ambao ni kitu cha punk sana. Ilikuwa katika roho hii kwamba nilianza kumfuata Yesu.
Sasa tunaweza kuongea kushu namna nyingi ambao Yesu anatoa changamoto kwa hali ilivyo. Haya labda ni mazungumzo mengine.
Usipokuwepo ofisini, unapenda kufanya nini?
Kazi yangu nyingi zinafanya nje ya ofisini. Ninapenda kazi yangu. Hivyo, nisipokuwepo ofisini, napenda kufanya kazi.
Kazi yangu inahusika kubuni vitu vipya na kuwasaidia wengenie kubuni vitu kwa utukufu wa Mungu. Kwa siku zangu nzuri, ninapewa fursa kutembea na watu wanaopenda muziki, lakini hawakuwahi kutunga wimbo, na kuwasaidia kutunga wimbo mpya kabisa inaowasaidia kuelewa zaidi Mungu na Neno Lake.
Kwa kuburudika, napenda kula chakula kizuri, na kugundua maeneo ya asili. Kitu kimoja nakumbuka sana kati ya nyakati huu ya kujitenga ni kuwa pamoja na wazazi wangu mara mbili kwa wiki kwenda kwa chakula kizuri katika moja ya hoteli nzuri sana jirani yetu (wazazi wangu wanaishi upande mwingine wa wilaya).
Unafikiri nini kuhusu maisha yako ya sasa hivi? Unatumaini na unapanga nini kwa wewe binfasi, familia wako, kazi, n.k...?
Ni ngumu kuwa na mipango sasa hivi.
Nilikuwa na mipango kubwa mwezi moja iliopita. Mwezi wa Tatu, nilikuwa nilitaka kuwepo Thailand kufundisha. Mwezi wa Nne, nilikuwa nilitaka kwakilisha shirika langu katika mkutano mkubwa iliotakakufanikiwa Greece. Mwezi wa Sita nilikuwa nilitaka kuwa na mfufulizo wa semina ya kutunga nyimbo katika Kosovo na Bangladesh. Mwezi wa Saba, nilikuwa nilitaka kuwa moja ya watu kuongoza sifa na kuabudu katika mkutano wa Global Consultation on Music in Mission iliotakakufanikiwa mji wa Dallas, USA. Nilikuwa na kazi ya uzalishaji ya CD sita au saba kushikana katika nafasi za katikati.
Sasa hivi sitarajia yoyote kufanikiwa.
Bado natafakari huzuni fualni kwa mwaka 2020 bila mipango.
Napanga kuishi...kustawi mahali. Malengo yangu mapya ni mambo yanoendelea kupangwa.
Ninatunga na ninazalisha muziki. Ninafanya kitabu cha pili katika mfululizo wa riwaya ya graphic. Ninajaribu kushirikishana kwa ubali na watu fulani kwa miradi ya ubunifu ambao bado ni mchanga kiasi cha kutosha kutoyaongelea sana sasa hivi.
Nimepewa ushauri kuanza kazi ya PhD na sasa nipo kwenye mchakato ya kuomba nafasi.
Nini ungemshauri mtu anayetaka kuja USA kwa mara ya kwanza?
Sasa siyo wakati nzuri kukuja! Ha!
Lakini kwa kumaanisha. Uje USA kwa fikra wazi. Yoyote unayofikiri ni USA, ndio ni tofauti. Hii ni kweli pia kwa watu kutoka USA wanaosafiri kwa sehemu tofauti ya nchi. Los Angeles ni tofauti na New York kama New York ni tofauti na Seattle, kama Seattle ni tofauti na Dallas. Sikuwahi kushutkwa na utamaduni kama nilishutkwa kuhamia kutoka Seattle kwa Dallas. Zaidi kuliko kuhamia Botswana. Hii nidio ni miji mikubwa tu.
Je, wewe ni mwenye ubunifu? Kama ndio, tafadhali tuelezee zaidi.
Ndio.
Nafanya aina nyingi ya vitu.
Hivi karibuni mambo mawili makubwa yanahusika muziki na riwaya ya graphic.
Kama mwana muziki, ninapiga vyombo kama 12 kwa ustadi. Pia ninatunga, ninazalisha, na ninatengeneza muziki. Nina sifa kuwa utunzi wa nyimbo, mwana muziki, mzalishaji, au mhadishi kwa miradi kama 50. Wato ambao labda hujawafamu. Nafanya kazi ninazothamini, siyo kwa kazi zinazoweza kunipatia sana pesa au kujulikana. Napiga mtindo mbalimbali. Mtindo yangu ya "asili" inaambantana sehemu za freak folk, folk punk, jam rock, na low fi. Nawakilisha mbele bendi ambao ninasimama nyumba inaoitwa One Finite Monkey (onefinitemonkey.bandcamp.com). pia mimi ni mtunzi wa nyimbo ya kwanza kwa mradi ya EDM inaoitwa The Space Mice. Kwa nyakati huu ambao nimejitenga kwa studio yangu nyumbani, mara nyingi ninatekeleza miradi binfasi, japokuwa nakaribisha kushirikishana na wengenie, na ninafurhaia kujaza sehemu zinazokoseka kwa miradi ya kimuziki ya watu wengenie.
Kwa ajili ya riwaya ya graphic, nimependa vitabu vya comics tangu nilikwa mtoto mdogo na nilianza kuvichora kabla niliweza kuandika maneno (nililazimisha mama yangu kuongeza sehemu ya maongezi). Mwaka jana, nilichapisha kitabu changu cha kwanza cha urefu nzima, Matembezi Urefu: Dragons Katika Nchi za Kistaarabu, Kitabu cha Kwanza, (The Long Walk: Dragons in Civilized Lands, Volume 1 kinachopatikana kwa Amazon, Comixology, and DriveThruComics), ambao ni waraka ya upendo kwa ile "sword na sorcery genre" na comics ya uhuru niliogundua katika miongo ya 1970 na 1980 mwanzoni. Nipo kwa kina katika kitabu cha pili na niatumaini kukikamilisha kabla ya mwishoni wa mwaka.
Chochote kingenie unachopenda kusema?
Tafuta furaha. Ubarikiwe.
Nashukuru sana Rob, hii inapendeza, labda kwa sababu wewe unapendeza. Ilikuwa heshimu yangu kukuonyesha hapa, na ninakuombea kwamba Mungu aendelee kujitukuza kupitia wewe. Amekupatia moyo mwema, na ulimwengu wa ujuzi unaoifanyia dunia hii kuwa kama kwake, zaidi.
0 notes
mwemaduma · 1 year
Text
Tumblr media Tumblr media
Donnie’s text messages:
You: Yeah, I got a surprise for you! I will present it to you this Saturday :)
Nyota: Really?? Aww you didn’t have to!
You: Of course I have! What kind of friend would I be if I didn’t make the best gifts for you?
Nyota: Youd still be my friend, I love your company
Nyota: also my company is the only gift I can give to you at the moment. Im broke 😅
You: My dear friend, your company is greatly appreciated <3
Nyota: aww 🥺💛
You: You will lzdfhjoobgfdd
Nyota: what happened? Did Rosalind sit on your keyboard? x3c
Tumblr media
52 notes · View notes
mwemaduma · 11 months
Photo
Tumblr media
Gonna put these two through some stuff
22 notes · View notes
mwemaduma · 11 months
Photo
Tumblr media
Quick sketch
24 notes · View notes
mwemaduma · 10 months
Text
Commissions are open!
Tumblr media
19 notes · View notes
mwemaduma · 11 months
Photo
Tumblr media
“Let’s Play!”
19 notes · View notes
mwemaduma · 1 year
Text
Tumblr media Tumblr media Tumblr media
His name is Orion
28 notes · View notes
mwemaduma · 9 months
Text
Tumblr media
16 notes · View notes
mwemaduma · 1 year
Text
Tumblr media Tumblr media Tumblr media
Part 3
Previous:
20 notes · View notes
mwemaduma · 1 year
Text
Tumblr media Tumblr media Tumblr media
Part 2 of https://www.tumblr.com/mwemaduma/717520730647117824/the-first-time-donnie-saw-nyota-i-remember-him
20 notes · View notes
mwemaduma · 1 year
Text
Tumblr media
The first time Donnie saw Nyota.
I remember him saying something like "dragons don't exist" in an episode so I think he'd be surprised when seeing one.
22 notes · View notes